Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, September 1, 2013

HII HAPA NYIMBO YA DAYNA ANAYOSEMA AMEIBIWA NA DIAMOND PLATNUMZ (NUMBER ONE)

Juzi kati mkali wa music wa BongoFleva Diamond Platnumz alizindua rasmi ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la My Number One katika ukumbi wa Serena Hotel ambao watu wengi mashuhuri walialikwa kwenda kuiona video hiyo,
Kubwa lililoibuka kwa sasa ni kutoka kwa msanii wa kike wa Bongofleva pia, Dayna Nyange (Dayna), ameibuka na kusema kua wimbo ule ni wa kwake na msanii Diamond ameuiba, kwa mujibu wa Dayna anasema, Alimpelekea Diamond demo ya wimbo huo ili kuangalia uwezekano wa kumshirikisha lakin kadri siku zilivyokua zinakwenda Diamond alioneka kua bize sana, na mwisho wa siku, ngoma ndo iyo iliyozinduliwa juzi.
Licha ya hayo kikubwa na cha kushangaza ni kwamba Producer wa ngoma iliyozinduliwa ni SHEBY CLEVER na wa hii ya DAYNA ni huyo huyo, Je unafikiri kuna ufanano wowote kwenye ngoma izo;Hebu isikilize hii demo ya Dayna huku ukisubiri rasmi ngaoma hiyo ya diamond Kisha Utatuandikia maoni yako hapo chini kwa upande wako unahisi vip???:

TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment