Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Thursday, September 19, 2013

DAY 2: PICHA ZA BEHIND THE SCENE ZA FILAMU YA CLOUD 112 INAITWA "DR MAX" HIZI HAPA;

Habari za leo wadau wangu wakubwa wa blog hii pamoja na filamu zangu, hopefull mko vizur SANA , na mimi nipo mzima wa afya Alhamdulilah, Bado tupo Kambini kwa ajili ya kuendelea kuishoot Filamu ya "DR MAX" kwa ajili yenu, Na Leo kama tulivyo ahidiana tutakua tukipeana picha za nyuma YA Pazia Kwa kile kinachoendelea huku, kila tutakapo kua wazima wa afya kwa mtindo wa DAY, Juzi niliweka picha na ilikua ni  DAY 1, Leo kwa taratiibu kabisa nime wawekea picha za DAY 2, Jinsi tunavyoshoot huku:
Karibu sana kuziangalia picha za DR MAX behind the scene DAY 2: Hizi hapa....

On set with Wastara












Lakini pia usisahau kuacha maoniy yako hapo chini kwa kutumia facebook yako hapa chini:
NAWAPENDA SANA
TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment