Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, September 25, 2013

(PICHA)HIZI PICHA ZA MWISHO BAADA YA KUMALIZA KUSHOOT FILAMU YA DR MAX::

Habari za leo watu wangu pamoja na wadau wakubwa wa blog hii, nitakua mchoyo wa fadhila km sitamshukur allah muumba kwqa kutuwezesha kumaliza salaama kabisa kushoot filam mpya ya cy&cl company inayoitwa DR MAX, Na kwa sasa zimebakia process za kitaalam tuu so kaaeni tayari, tutapeana maelezo lini inatoka rasmi na itazinduliwa wapi , kila kitu kuhusu filamu hiyo na Cloud 112 ni hapa kwenye blog yangu;
Asanteni sana kwa ushikiano wenu wa mawazo na kila kitu NAWAPENDA sana;
Angalia picha hapa za mwisho mwisho mimi na crue nzima ya CY&CL COMPANY.......









TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment