Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, September 13, 2013

MOVIE MPYA YA CHOPA NA MISS TANZANIA 2011 SALHA ISRAEL TAYARI WAMESHAINGIA LOCATION KUSHOOT;

IMEANDIKWA BONGO5
Chopa na Salha
Chopa ameshare picha akiwa na mrembo huyo kwenye Instagram na kuandika: Tajir Chopa Mchopanga kaopoa miss tz.. On set na salha Israel, my new film.”
Hiyo sio filamu ya kwanza Salha kuigiza kwani tayari ameigiza kwenye movie ya kampuni ya RJ Company iitwayo, Bud Luck akiwa na waigizaji wengine kama Batuli na Johari.
“Kufanya movie ilikuwa ni moja ya ndoto zangu kubwa. Nilikuwa na mawazo kwamba hata ningeshindwa kupata taji la Miss Tanzania basi ningeingia moja kwa moja kwenye uigizaji. Lakini ilinibidi nisubili kidogo baada ya kushinda taji lile na muda ndio huu umefika,” gazeti la Mwananchi April mwaka huu lilimnukuu.
TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment