Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, September 8, 2013

(PICHA)MUONEKANO WA ANTY EZEKIEL TANGU ATOKE HOSPITALI KUTIBIWA MKONO:

Msanii wa filam nchini T.z ANTY EZEKIEL ameshare picha ake baada ya kutoka hospital na zinazomuenesha yuko fiti san sana, Aunty Ezekiel alipigwa chupa na kujeruhiwa vibaya na mwanadada aliyetambuliwa kwa jina la Ivony wiki chache zilizo pita, na hizi ni baadhi ya picha zake zinazomuonesha akiwa fresh na mzima wa afya:
                                                                                  
check picha zingine hapa-:
TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment