Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, April 25, 2012

Cand aja na mapya kwenye muziki

HELLEN DAVID (Candy) ambaye alikuwa miongoni kwa washiriki katika kinyang`anyiro cha kumsaka mshindi wa “Tikisa 2011” na kutolewa katika hatua za mwisho za shindano lile, ameachia Track yake mpya inayoitwa “NIMPENDE MILELE” chini ya kampuni ya  Most Record&Production ya jijini dar  es salaam. Hellen au kwa jina la kisanii anaitwa
California” ni msanii ambaye anavipaji vingi, licha ya uwezo wake mkubwa wa kucheza muziki wa kila aina pia ana uwezo mkubwa sana wa kuimba. Most Record & Production waliona kipaji chake ndipo hawakusita kumpa ofa ya kurekodi nyimbo pamoja na video.

Baada ya ofa hii aliyopewa na Most  Record & Production, "Candy California”  amepata ofa nyingine ya kurekodi nchini Afrika ya Kusini mapema mwezi Juni 2012, ataweka wazi pale mipango yote itakapokuwa sawa.





No comments:

Post a Comment