Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, April 18, 2012

Zola na Mb Dog waliendeleza Burudani German

Mwanamuziki Zola D na Mb Dog  bado wapo Ujerumani katika jiji la Munich, katika show zao za bara la Ulaya. Zola D anasema anashukuru  sana mashabiki wao, kwani wamekuwa wakiitia wimbo wao na kujaa katika Show zao bila ya kutegemea. Wanasema huvi sasa bado wanaendelea katika miji mbalimbali ya nchi ya Ujerumani, kabla ya kuelekea Denmack na nchi zingine za Ulaya

Mb Dog akiimba wimbo wa Ratifa, huku wazungu kwa waswahili wakicheza.


Zola D na Tinah wanaounda kampuni ya Tizo Entertainment Ltd


No comments:

Post a Comment