Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, April 11, 2012

R.I.P The Great Steven Charles Kanumba 1984-2012



jeneza ambalo limebeba mwili msanii mwenzenu maalufu sana katika tasnia ya filamu ambaye hatutaweza kumsahau, R.I.P Steven Charles Kanumba, wakati tulipokuwa tukiuga mwili huo katika viwanja vya Leaders club jijini Dar es salaam siku ya jummne na kwenda kuuzika katika makabuli ya kinondoni.

Tukiwa karibu ya jenezi mwili wa marehemu The Great Kanumba, wakati wa kuaga
msanii Vicent Kigosi 'Ray' akifuatilia kuaga kwa swahiba wakewa karibu


Wasnii tulishikamana pamoja, hapa aliyevaa mawani nyeusi ni manii wa muziki na filamu nchini Hemed Suleiman, pembeni akiwa na mtangazaji wa Cloud Fm Kibonde


Wakina mama wa Bongo Movie, nao walikuwa pamoja kumsindikiza msanii mwenzetu.



Watu walikusanyika toka sehemu mbali mbali, na kusababisha viwanja kujaa sana na hatmaye wengine walikosa pumzi na kuzimia.

Bendi ya kwaya, nayo ilikuwa ikiimba nyimbo za maombolezo kwaajili  kumshukuru mungu kwani yeye ndiyo kila kitu

Baadhi ya waandishi ikawabidi kupandajuu kwaajili ya kupata picha nzuri na safi, yote katika kuonyesha upendo kwa msanii Kanumba na mapenzi yao kwa filamu za Kitanzania.

Ray akiongea na mbunge wa Chadema ambaye alikuja kuwakilisha upande wa kiume kwa wa Steven Kanumba.
Gari la kubeba jeneza la mwili wa marehemu Steven Kanumba lilikuwa likisogea kwaajili ya kuchuka mwili huo kwenda kuuhifadhi katika makazi ya kadumu

Mzee wetu Mzee Chilo naye alikuwepo kujumika kwa pamoja

Msanii wa muziki wa kizazi Kidumu kutoka Kenya, naye alikuja kuwawakiisha wasanii wenzake na Wakenya kwa ujumla.






Kabuli ambalo litaingia jneza la marehem Steven Kanumba
Kutokana na watu kuwa wengi na kuongezeka kwa vulugu kila mmoja akitaka aone, ndipo  ulinzi ukaimalishwa kwa kutumia  farasi, pamoja na mbwa wa polisi.



Mwili wa marehemu Steven Kanumba ukiwa kwenye Jeneza, wakati mama yake Frola akiuaga kwa mara ya mwisho kabla ya kuzikwa. Hii kwetu ni pigo la kujifunzi kwa wadau wote wa filamu na Watanzania kwa ujmla.



No comments:

Post a Comment