Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, April 27, 2012

Cloud 112 alazwa

Msanii maarufu wa filamu nchini Issa Mussa 'Cloud 112' amelazwa katika hospitali ya Al Ijumaa iliyopo Kariakoo baada ya kuugua ghafra, wakati akiwa katika shughuli zake za kawaida.  Cloud 112 amelazwa hospitalini hapo tangu saa saba mchana,na hivi sasa tayari ameshapata vipimo vya Malaria ambayo amekutwa hana, pia akapimwa na presha ambapo alikutwa ipo sawa, hali iliyopelekea kuchukua vipimo vya typhod. Hadi hivi sasa msanii huyo bado yupo hospitali kwaajili ya kuendelea kuangalia afya yake na kuchukuliwa vipimo zaidi, wakati huo pumzi ndiyo inayomsumbua kwa kuwa anaipata kwa tabu

hapa akiwa hospitali ametundikiwa dripu ya maji

3 comments:

  1. utapona mwenyezi mungu atakupa afya na nguvu ishalla na uzima AMIN

    ReplyDelete
    Replies
    1. Brother Issa tunakuombea kwa Mwenyezi Mungu utapata nafuu. Kwa niaba ya Maseneta wote wa ASET.

      Delete
  2. Pole Claud kwa kuumwa changamoto lazima zije ukipona pia tujuze

    ReplyDelete