Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, April 17, 2012

Tuzoza Kilimuziki Awards zilikuwa za moto

Tuzo za ngumu wasanii walikuwa hawatabiriki, wengine watumia nafasi hiyokutoa yaliyo ya moyoni, ila waliotwaa walikuwa kamahivi ifuatavyo...
KILI MUSIC AWARDS 2012
1.Arusha Gold-wimbo bora wa Raggae
2.maneno maneno-queen darling ,wimbo bora wa,dance hall
3.Ally Kiba-dushelele,wimbo bora wa zouk rumbaa
4.vifudu tundu-At,wimbo bora vionjo vya asili
5.Nani kama Mama-Isha,Wimbo bora wa taarab
6.Dunia daraja-Africa Stars,Wimbo bora wa Bendi
7.Hakunaga-Sumalee.wimbo bora wa Afro pop
8.My number One fan-Ben Paul,Wimbo bora wa RnB
9.ROMA-MATHEMATIC,Wimbo bora wa HipHOP
10.Ommy dipoz,NgaiNGAI.MSANII bora ANAECHUPUKIA
11.Kitololo,Rapper bora wa Bendi
12.Romaa Mkatoliki.Msanii Bora wa HipHOP
13.Ommy dimpoz Ft ali Kiba-nai nai wimbo bora kwa Kushirikiana
14.Kigeugeu-Janguar,Wimbo bora wa Africa mashariki
15..Khadija Kopa-Mtumbwizaji wa Kike
16..Diamond-Mtubwizaji bora wa kiume
17.Diamond-Mtunzi Bora wa mwaka
18.Maneck-Mtarishaji Bora wa mwaka
19.Diamond-moyo wangu,Video bora ya Mwaka
20.Hakunaga-Sumalee,wimbo bora wa Mwaka
21.Lady jay dee-Mwimbaji bora wakike,
















No comments:

Post a Comment