
Kwa vile mke wa mtu sumu nimeona ni bora ni share na nyinyi watu wangu hii habri isome kwa kituo
Issa Mnally Na Richard Bukos(gpl)
KIJANA mmoja mtanashati ‘Sharobaro’ ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja juzikati alijikuta akichezea kichapo cha mbwa mwizi kisa kikidaiwa kuwa ni mke wa mtu.

Usione vyaelea: Sharobaro (katikati) akilia baada ya kuchezea kichapo kwa kukutwa na mke wa mtu.
Tukio hilo lilijiri saa saba usiku mwishoni mwa wiki iliyopita,
Chalinze mkoani Pwani ambapo mapaparazi wetu walikwenda kwa ajili ya
uzinduzi wa kundi jipya la sanaa liitwalo 3 Ways.Wakati shamrashamra zikiendelea, ghafla liliibuka timbwili na katika kufuatilia ilibainika sharobaro anayeishi eneo hilo alikuwa