Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, November 3, 2013

MKE WA WILLIAM AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE: soma zaidi hapa;

Mke wa William Mtitu ajifungua mtoto kike. Soma zaidi hapa
Mwigizaji, muongozaji wa filamu na mmiliki wa kampuni wa filamu ya 5effects William Mtitu amepata bahati ya kuongeza idadi ya wanafamilia wake baada ya mke wake Jovitha Mtitu kujifungua salama mtoto wao wa kwanza kwenye hospitali ya Regency jijini Dar es salaam hivi majuzi.
Kupitia ukurasa wa mtandao mmoja wa kijamii Mtitu aliandika…
“Nawashukuru madaktari wa hospital ya regency na kwa Dr mvungi wakiongozwa na Dr getu kwa kusaidia mpaka mke wangu kujifungua salama na sasa naitwa baba na mke wangu mama ,kwa kweli mungu awabaliki sana…”
Hali ya Mama na mtoto ni njema na  wanaendelea vizuri. Hongera sana Mtitu na familia yako.
(imetoka Bongomovies)
TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment