Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, November 3, 2013

''NAPUMZIKA KUIGIZA FILAMU ZA BONGO ZINAFANANA''- ROSE NDAUKA

Filamu za bongo zinafanana sana. Napumzika kuigiza - Rose Ndauka
 (imetoka BongoMovie)
Mwigizaji Rose Ndauka amesema kuwa anapumzika kwenye tasnia ya filamu kwa mwaka mmoja kwakuwa filamu za Tanzania zinafanana sana na anataka aje na kitu kipya na tofauti.
Kwa mujibu wa gazeti la mwanaspoti Rose Ndauka amesema wazo hilo limetokana na tatizo la kufanya kazi zinazojirudia mara kwa mara, hali iliyomfanya aamue kujipa likizo ya muda ili kujipanga.
Hata hivyo kauli hiyo inaweza kuwa na utata muigizaji huyo ni mjamzito kwa sasa na huenda hiyo ndio ikawa ni sababu kubwa ya yeye kusimama kwa muda.
TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment