Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, October 27, 2013

TAARIFA JUU YA KIFO NA MAZIKO YA BABA WA WEMA SEPETU (MZEE ISSAC SEPETU)

Leo mapema tumepokea taarifa za kifo cha Baba mzazi wa Msanii nguli wa Filam nchini Tanzania Wema Sepetu Mzee Issac Sepetu (pichani), Ambae alikua anaumwa na amelazwa katika hospitali ya TMJ jiji Dar,Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Band Ya #COCONUT BAND ya Zanzibar Bwana RAY ambae ni  ndugu na wema sepetu ba mkubwa kwa ba mdogo, alisema mwili wa mzee sepetu kwa sasa umeshapelekwa katika Monchwari ya hospital Kuu ya Muhimbili:
Alipotakiwa kusema kuhusu wapi na nilini atazikwa mzee huyo: Bw; Ray alisema
Ray Mkurugenzi wa Coconut Band Zanzibar:
''kwa sasa tunawasubiri baadhi ya watoto wake waliyokuwepo marekani wafike, na wengine waliyokuwepo ujerumani na tunatarajia watafika kwenye jumanne, sasa wakifika tutazika kati ya juma nne au juma tano, na mzee tunatarajia atazikwa kwenye shamba yake Visiwani Zanzibar iliyoko shamba Mbuzini''
TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment