Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, September 10, 2013

PICHA ZA MAZISHI YA MSANII WA BONGO MOVIE HAPA MAENEO YA MAKABURI YA KINONDONI:

JENEZA LA MAREHEMU ZUHURA MAFTAH   
Marehemu Melisa alikua  ni msanii wa bongo muvi ambae jana habari zilitufikia kua ameaga dunia, Maremu MELISA alifahamika kwa mara ya kwanza kwenye filamu ambayo alifanya na mimi CLOUD 112, ilikua inakwenda kwa jina SECURITY, Marehemu Melisa pia alikua ni miongoni mwa vipaji ambavyo niliviibua mm, kama itakumbukwa licha ya kuwemo kwenye hiyo filamu pia ilikua ni filamu yake ya kwanza:
Kwa ambao hawakumbuki wakiangalia tena filamu ya SECURITY ni mwanadada ambae mwanzoni uwanja wa Ndege ZANZIBAR anakutana na mimi,( cloud 112),huku ana mtoto wote wakiwa wanasubir ndege kuelekea DAR-ES-SALAAM:
Marehemu ameacha mtoto mmoja;
kwa sasa hivi Mimi pamoja na wadau wengine tulifika kwenye maziko yake, kusindikiza mwenzetu kwenye makaazi yake ya milele M/mungu ailaze roho ya maremu Mahali pema Peponi Amin;
ZIFUATAZO NI PICHA ZA HAPA MAENEO YA MAKABURI YA KINONDONI:










TOA MAONI YAKO HAPA:

No comments:

Post a Comment