Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, May 18, 2012

Uzinduzi wa TOBA, wawakufuru, watu wakosa nafasi wabaki nje

Cloud 112 akiwa na maalim Shefu Sharifu Hamad wakiingia katika ukumbi wa Safari Bwawani


Makamu wa raisi wa kwanza wa Zanzibar, Maalim Sefu Sharifu akiwa na Isssa  Mussa Cloud 112


Steven Nyerere ndani ya ukumbi wa Safari bwawani

Kambarage wa Step Entertaiment akifurahi sana



Watoto wa madrasat wakijiandaa kuingia kwenye ukumbi kwaajili ya kutoa burudani.



Hiii ilikuwa ya aina yake kwani watu walijaaa kiasi cha kukosa sehemu ya kukaa, kutokana na tiketi zilizotolewa ziliisha hivyo ikabidi kusaini tiketi zingine nazo zikaisha, na watu kibao wakawa wamebaki nje kutokana na kutokuwa na nafasi ya kuingia.


Msanii kipande cha mtu J.b akitoa hotuba ambayo kwamwe hakuwahi kutoa hutuba ambayo ilivutia wengi kama hiyo. Jb alieleza ni jinsi gani walivyovutiwa na uzinduzi wa filamu hiyo na watu kwansi walivyoipokea, pia alieleza ni jinsi gani anavyotamani msaada kutoka kwa kiongozi wa juu ili kuweza kuunga mkono nao wapate nafasi mzuri ya kuitangaza Zanzibar katika nchi za nje.





Chopa mchpanga, akiwa ndani ya vazi la kanzu



Pacha wa Cloud 112, Hostadhi Kharifani akisikiliza hotuba ya mgeni rasmi maalimu sefu sharifu Hamadi

Wema na Jb wakisikiliza kwa pozi.

Irene Uwoya akiwa na Chopa kwa pembeni kidogo


Mamaa  Lolaa akinunua Cd ya filamu ya TOBA kwa njia ya mnada kwa shilingi laki mbili taslim bin keshi.

Mgeni rasmi akiwa na wasanii ambao waliigiza filamu hiyo pamoja na viongozi wengine wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Wasanii wote wa Bongo Movie walipiga picha ya pamoja katika kukamilisha uzinduzi wa filamu ya Toba


Meneja wa kampuni ya Cy & Cl Company, Cloud 112 akimkabidhi Cd ya filamu ya TOBA , mgeni rasmi makamu wa raisi wa kwanza Zanzibar.



Familia ya Cloud 112 wakiwa na furaha baada ya kufanikiwa kuzindua vizuri filamu ya TOBA, pia kuzaliwa kwa mtoto katika usiku huo mtoto wa pacha wake Cloud 112, Kharifan ambaye alijifungua usiku saa 6, katika Hospitali ya Al rahama, iliyopo mjini Zanzibar. jambo ambalo linaashiria huenda akawa ni mwanazuoni mkubwa kutokana na usiku huo kuwa wa kipekee kwa filamu ya kwanza kuzinduliwa mjini Zanzibar ikiwa na maadhi hayo ya kidini.  MUNGU MBARIKI AWE NA MAISHA MAREFU NA MEMA.






No comments:

Post a Comment