Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, May 8, 2012

Mtoto wa Ajabu Mwenye Sehemu za Siri Usoni

Mtoto wa ajabu amezaliwa mkoani Ruvuma akiwa na nne za siri ambapo sehemu za siri mbili za kike na kiume zipo kwenye paji la uso na sehemu zingine mbili za siri za kike na za kiume kwenye maeneo ya sehemu za siri.

Mtoto huyo alizaliwa kwenye hospitali ya mkoa wa Ruvuma akiwa na jumla ya sehemu nne za siri ambapo mbili kati ya hizo zipo usoni na zingine mbili zipo kwenye maeneo ya sehemu za siri.

Mtoto huyo ni mtoto wa nne kuzaliwa katika familia ya bwana Said Abdallah ambayo tayari ina watoto watatu ambao hawana kasoro yeyote.

Mganga Msaidizi mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Ruvuma, Bwana Mathew Chanangula alisema kuwa sababu ya kuzaliwa kwa mtoto huyo akiwa na maumbile ya ajabu huenda ikawa imesababishwa na mama wa mtoto huyo kutumia madawa makali wakati wa ujauzito.

No comments:

Post a Comment