Mwanamuziki Nurudin
Bilal almaarufu kama Shetta, King Muswati au prezda wa Dastamina ameamua kuachana na chama
la ubachelaa na kuamua kuoa . Shetta ameng,oa jiko
leo hii alfajiri na mtoto huyo anajulikana kwa jina la Laila ambaye alikuwa
mjamzitona hakutaka kuzaa mtoto akiwa nje ya ndoa. Hii ni siku chache kwa mwanamuziki huyo tangu atoe track
yake mpya iliyokwenda kwa jina la Nidanganye ambao kwa sasa umeshaaanza kuwa
Hit, katika media mbalimbali hapa nchini. Katika wimbo huo Sheta alimshirikisha Diamond Platnum, na kufanya wimbo huo uzidi kushika
kasi hadi hapa alipofikia kuamua kuoa. Shetta anasema msichana wake huyo ambaye kwa sasa ameshakuwa
mkewe ni wa muda mrefu na ndiyo maana ameamua kufunga naye ndoa.
|
No comments:
Post a Comment