Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, May 15, 2012

Richie Rich atoka na Uyoga

Mwigizaji Richie Rich anatarajia kuachia filamu yake mpya itakayo kwenda kwa jina la Uyoga. Katika filamu hiyo Rich amekutanisha wasanii wakali akiwemo Hatman, Rachel, Barafu, Libert,Miss Kinondoni pamoja na Miss Arusha wote wakiwa mwaka 2011.
Hatman
Sudi na mr Kupa

Libert
Warembo wakiwa kwenye Make up

Miss Kinondon na Miss Arusha

Rachel








No comments:

Post a Comment