Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Saturday, January 5, 2013

Jakaya akamilisha safari ya mwisho ya Sajuki

 Raisi wa Tanzania Jakaya Mrisho kikwete jana amekamilisha katika safari ya mwisho ya msanii wa filamu nchini Juma Kilowoko 'Sajuki'katika makabuli ya kisutu jijini Dar es salaam. Katika mazishi hayo yaliyofanyika muda wa saa saba yaliudhuliwa na viongozi mbalimbali, pamoja na wasanii wengine kutoka tasnia mbalimbali kuhakikisha wanakamilisha safari ya mwisho ya msanii huyo ambaye ameteseka kwa muda mrefu kutokana na maradhi ya uvimbe.
 Msanii Cloud 112 akitoa maelekezo juu ya kuusogeza mwili wa marehemu karibu na kabuli, kwaajili ya kumstiri ndugu Sajuki.
 Angalia picha zaidi za mazishi ya Sajuki





























No comments:

Post a Comment