Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Monday, January 28, 2013

Wasanii walipoamua kujitokeza kuchangia Ofisi Dar Live


 Siku ya jumamosi ya majuzi wasanii wa filamu wote walikutana katika viwanja vya Dar Live katika tamsha la Siku ya Masuper Star Lengo kubwa lilikuwa kujenga urafiki na mashirikika mengine pamoja na kukusanya fedha zitakazo saidia kujenga Ofisi ya hadhi ya shirikisho la Wasanii maarufu kama TAFU chini ya raisi wa shirikisho hilo Simon Mwakifamba.  Katika tamasha hilo pia walimwarika Meya wa Ilala Jery Slaa, huku wasanii wenyewe ndio wakiwa watoa burudani wakubwa katika tamasha hilo
















No comments:

Post a Comment