Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, January 16, 2013

Dully Syskes ajisafisha kesi ya Arafat Ngumijiwe

Mwanamuziki wa kizazi kipya Dully Syskes ameomba radhi mashabiki wake kutokana na kitendo alichokifanya aliyekuwa rafiki yake wa karibu Arafat Ngumi jiwe cha kumnajisi mtoto wa kiume. Dully alisema hana uhakika kwa hilo ila amekiachia  chombo cha dora kuweza kutekeleza wajibu wake na ataonekana na hatia basi sheria  mkondo.
Amesema kuomba kwake  radhi kunatokana na mtu huyo kuwa rafiki yake wa karibu, jambo ambalo ameona bora kufanya hivyo ili kuepukana na kashfa hiyo.

No comments:

Post a Comment