Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, January 16, 2013

Matata apata ajali

Mwigizaji wa filamu wa Rashidi Waziri Matata amepata ajali ya kugongwa na gari leo na kuumia vibaya sana hadi kupelekea kupelekwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili na kulazwa katika wodi ya Sewa hadi 18. Taarifa zinadai msanii huyo kwa sasa amekatwa mguu mmja kutokana na ajali hiyo. Wasanii wote wanaombwa kwenda kumuona na kumsaidia msanii mwenzao kwa kile kilichomkuta, kwani kabla hujafa hujaumbika.

No comments:

Post a Comment