Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, January 22, 2013

Bob Junior atapa mtoto wa kiume

  Nyota wa muziki wa kizazi kipya Rummy Nanji 'Bob Junior' ameuanza mwaka vizuri kwa kufunga ndo na mpenzi wake, mwanzoni mwa mwezi huu na hatmaye hii leo tunazungumza msanii huyo amepata mtoto wa kiume.  Mwanamuziki huyo pia hivi karibuni alikuwa akimalizia video ya wimbo wake wa Kichumu, ambao umekuwa wakati furaha za harusi na sasa kupata mtoto. Bongo Unit inampa pongezi raisi wa Sharobaro kupata mtoto huyo.



No comments:

Post a Comment