Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Wednesday, October 17, 2012

NSSF watoa vitambulisho kwa wasanii


Leo wasanii wa filamu nchini walikusanyika pamoja katika semina maalum ambayo ilikuwa ikitolewa na Shirika la Hifadhi ya mfuko wa kijamii la NSSF. Mkurugenzi uendeshaji wa kampuni hiyo Crescentius Magori, alisema shirika hilo limeamua kufanya hivyo baada ya kugundua Watanzania wengi wakiwemo wasanii ambao hawajaajiliwa wamekuwa wakikosa fulsa ya kujiunga na mfuko huo. Alisema mara nyingi watu walioajiliwa ndiyo wamekuwa na nafasi kubwa ya kupata huduma zitolewazo na mfuko huo ikiwemo huduma ya matibabu, kiinua mgongo na huduma zingine ambazo zinatokana wanachama wa mfuko huo. Aidha alisema lengo la mfuko huo waajiliwa na wasiokuwa waajiliwa kuweza kupata huduma hiyo, lakini mwamko umekuwa mdogo sana kwa watu waliojiajili.
Swebe pamoja na Sudi





Recho

Raisi wa shirikisho akiongea Mwakifwamba


Maya

 

Batuli

No comments:

Post a Comment