Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, October 16, 2012

Matonya amchukua Kingwendu kuwa densa

Nyota wa muziki wa kizazi kipya Matonya, amesema hivi sasa ameamua kuwachukuwa wachekeshaji kwaajili ya kuwafanya Madensa, pindi anapopanda jukwaani kuimba. Alisema anafanya hivyo lengo lake lake likiwa ni kutimiza ahadi yake ya kutoa burudani mbili kwa wakati mmoja. Alisema miongoni mwa stedi shoo wake, ni Kingwendu, na wengine.

No comments:

Post a Comment