Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, October 16, 2012

Wasanii washerekea Nyerere Day Sunrise

 wasanii wa filamu nchini ambao wanaunda kampuni ya Nyerere The Power, juzi walikuwa wakisherekea Nyerere Day katika beach ya Sunrise. Katika sherehe hiyo ambayo pia ilionyeshwa filamu ya Mwalimu Nyerere, wasanii waliweza kujiburudisha kwa kuogelea huku kiongozi wa kundi hilo Steve Nyerere akitoa burudani ya kuimba.
 Stive Nyerere


 Steve Akiwa na Mr Kupa
 Mr Zungu akiwa na simu kibao



 Mambo yalikuwa namna hii

No comments:

Post a Comment