Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, September 28, 2012

Nyumba yaungua moto

 Wakati tunarudi kutoka shooting Bunju tulipofika katika eneo la Mbezi na Africasana, tumekuta nyumba ikiungua moto. Kujenga nyumba ya ghorofa kuna raha yake na karaha yake, kwani watu wengi walikuwa wamejaa lakini walishindwa kutoa msaada kutokana na nyumba hiyo kuwa ya ghorofa, hata magari ya Fire yaliyofika hapo yalitoa masaada mdogo sana katika kuhakikisha wanazima moto huo.



No comments:

Post a Comment