Wakati tunarudi kutoka shooting Bunju tulipofika katika eneo la Mbezi na Africasana, tumekuta nyumba ikiungua moto. Kujenga nyumba ya ghorofa kuna raha yake na karaha yake, kwani watu wengi walikuwa wamejaa lakini walishindwa kutoa msaada kutokana na nyumba hiyo kuwa ya ghorofa, hata magari ya Fire yaliyofika hapo yalitoa masaada mdogo sana katika kuhakikisha wanazima moto huo.
MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''
Friday, September 28, 2012
Filamu ya Fungate yaingia sokoni
Ile filamu ambayo ilikuwa ikisubiriwa na watu wengi yenye histori ya Kipekee ya Fungate, imeingia sokoni hivi karibuni. Katika filamu hiyo ambayo imeongozwa na Kampuni ya CY & CL Company, imewashirikisha wasanii kibao akiwemo Liberty Msuya, Issa Mussa 'Cloud 112', Batuli na wengine kibao
Thursday, September 27, 2012
Fungate yaja kivingine
Mwigizaji nyota wa filamu nchini Issa Mussa 'Cloud 112' kupitia kampuni yake ya CY & CL Company, hivi sasa wapo kwenye mikakati ya kumalizia filamu ya FUNGATE, fialamu ambayo huenda ikawa tofauti sana na filamu zingine, kwakuwa hii sehemu kubwa imefanyika hotelini ambapo Fungate hiyo ilienda kuliwa. Ni kisa cha mapenzi cha muda mfupi lakini kilichojaa vioja vya kila aina kutoka kwa Cloud 112, Libert , Batuli na mwanadada Manka ambaye anaigiza kama mke halali wa Cloud 112 kwa jina la Lui.
Batuli na Libert
hili ndilo kundi zima linaloifanya filamu hiii
Cloud 112 akiwa kwenye pozi na Batuli
Heee!! Chuma hiki,
Batuli akiwa kwenye kujiremba |
Manka 'lui' akivuta hisia |
Batuli na Libert
hili ndilo kundi zima linaloifanya filamu hiii
Cloud 112 akiwa kwenye pozi na Batuli
Subscribe to:
Posts (Atom)