Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, August 17, 2012

Milion 2 atakaye mkamata mbanaji Cd Feki za Bongo Movie

Wasanii wa filamu leo kwa pmaoja walikutana katika viwanja vya Leaders Cloub kujadili juu ya hatma yao na maslahi yao katika tasnia hiyo na juu ya watu wanaobani Cd za filamu zao na kuuza kama njugu. Pia makundi mawili ambayo yalikuwa yakikizana siku zote kati ya kampuni inayojiita Bongo Movie chini ya mwenyekiti Jb na shirikisho la filamu nchini chini ya Saimon Mwakifamba, wamemaliza mgogoro wao huku kila mmoja akiweka ahadi kwa mwenzake kwamba anatambua uwepo wake. Miongoni mwa migogoro ambayo ilifanya mpasuka huo kuwa mkubwa pale Mwakifamba alipofika kwenye Tv fulani na kutangaza kwamba Bongo Movie haitambui kwa mujibu wa sheria,  huku akianika baadhi ya picha zinazoashiria kundi la Bongo Movie kwamba ndilo linaua tasnia kwa kufanya umalaya. lakini siku ya leo tofauti zote hizo waliziweka chini, na kuibua hoja mpya kwamba ni jinsi gani wanaweza kupambana na maharamia ambao wanadurufu kazi za wasanii na kuwafanya wawe mafukara daima. Miongoni mwa matukio ambayo walikubaliana kuyafanya ni kufanya maandamano makubwa yakiongozwa kwa kuvaa Tisheti, za kuashiri kupamba na uadui huo wa kudurufu kazi za wasnii. Huku wasnii mbalimbali wakitoa dau ili kukamilisha maandamano hayo, miongoni mwa watu waliotoa michango yao ni  Cloud 112 alitoa shilingi elfu 50, na usafiri wa kuelekea kwenye maandamano, Jb altoa laki moja, Tues Kinagala alitoa shiling laki moja na mengine wakasema watajua na kampuni yake cha kufanya, Dk Cheni alisema yeye atatoa usafiri, wakati wakubwa wao na wasambazaji wakubwa hapa nchini STEPS ENTERTAIMENT wakitoa ofa kwamba yoyote atayefanikisha kupatikana kwa mwaharamia mmoja basi atachukua donge nono la MILIONO MBIL . Kazi hiyo vijana wa mjiniii























No comments:

Post a Comment