Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, August 14, 2012

Super Nyamwela ala shavu Finland

 Nyota wa muziki wa dansi katika unenguaji, Super Nyamwela amekula shavu nchini Finland ambapo walikwenda kufanya show na kugewa offa kwamba atakuwa anagewa mkataba kwaajili ya kwenda kufundisha chuo cha unenguaji kilichopo nchini humo.Nyamwela alisema ofa hiyo, alipewa baada ya kufika huko na  kuanza kuwafundisha wazungu katika chuo kikuu cha nchi hiyo, ambacho kinajihusisha na utamaduni hususani wa kiafrika. Alisema aliwafundisha  zaidi ya wiki mbili alikuwa akitoa mafunzo kwa wazungu hao juu ya kucheza nyimbo za afrika, na baadaye kumwambia kwamba muda wowote na saa yoyote wanaweza kumwita tena nchini humo kwaajili ya mafunzo zaidi.
 pia kiongozi wa bendi hiyo Ali Choki alisema hivi karibuni anatarajia kuzindua albamu yake katika sikukuu ya Idd, na kutangaza jina la albamu hiyo ambayo itaakuwa na nyimbo saba.
 Banza Stone pia aliongeza kwa kusema, baada ya kuzinduliwa kwa albamu hiyo atatunga wimbo mpya

No comments:

Post a Comment