Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, August 14, 2012

TBL chini Gland Mult yafutulisha wasanii

 Kampuni ya biaTBL  inayozalisha kinywaji cha Gland Multa, leo walikuwa wakifutulisha wasanii na wadau mbalimbali wa kampuni hiyo. Mkurugenzi wa masoko wa kampuni hiyo, Mr Fimbo aliwataka wadau wote kushirikiana, hususani wasanii na wadau wengine wa kampuni hiyo. Wasanii mbalimbali wa Bongo Movie waliudhulia ghafla hiyo, akiwemo Cloud 112, Jb, Hatman, Aunt Ezekiel pamoja na wasanii wengine.
 Antie Ezekiel akiwa kwenye futari, baada ya kujiunga na uislam na sasa anafunga.

 Jacob Stephan akipata futari
 Cloud 112 akipata futari
 Hatman na Jb
 Mkurugenzi masoko wa bia ya kilimanjaro, George Kavishe



Antie na Cloud nje hoteli wakati wakijiandaa na kuondoka

No comments:

Post a Comment