Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Monday, August 6, 2012

Miliki wa Twanga Pepeta akana kuongelea bendi na Ramadhan

Mmiliki wa bendi ya Twanga Pepeta Asha Baraka, amekana kwamba hakuongea lolote na  gazeti lolote kuhusiana na bendi yake ya Twanga Pepeta la  kuhusiana na jinsi inavyoendelea na ratiba yake katika mwezi huu mtukufu wa ramadhani Kareem. Asha alisema hataki kugombanishwa na dini yake,  na  magazeti kwakuwa yeye ni muislam kamili. Aidha amesema yanayoandikwa kwenye magazeti hayo, yeye wala hausiki na hajawahi kuongea, kwani anaamini atakapoongelea suala hilo  atakuwa anakiuka maadili. Mwisho  amedai kwamba hayo yote atakuja kuongelea baada ya mfungo wa Ramadhani Kareem  huu kuisha.

No comments:

Post a Comment