Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, June 15, 2012

TASWA watoa tuzo kwa wanamichezo bora


Chama cha waandishi wa habari za michezo Tanzania Sports Writter Association 'TASWA', jana kilikuwa kikitoa tuzo kwa wanamichezo mbalimbali ambao wameweza kuitangaza nchi na kuisaidia kukuwa kwa michezo hiyo. Wanamichezo mbalimbali walipewa tuzo hizo, wakiwemo wale wa kutoka Zanzibar, na wa hapa Tanzania bara. Katika tuzo hizo mgeni rasmi alikuwa rais mstaafu wa awamu ya pili, Ndugu Ali Hassan Mwinyi, wakati tuzo ya Heshima ikienda kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Taifa Stars ambayo ilifanya vizuri mwaka 1979 na kufuzu kuingia katika ligi ya Afrika 1980 histori ambayo imejijenga hadi leo.

 
 
 
 
 
 
 

 
 






































No comments:

Post a Comment