Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Monday, June 18, 2012

Super Nyamwela avuta jiko


Mnenguaji wa bendi ya Extra Bongo inayomilikiwa na Ali Choki, juzi amevuta jiko bi Hawa baada ya kukaa muda mrefu bila kuoa baada ya kufiwa na mkewe. Sherehe hiyo ilifanyika msikitini maeneo ya Kinondoni, ambapo bibi Harusi huyo anapoishi.


Wakisaini hati ya ndoa.



Mambo ya msosi

kaka wa kwanza wa bwana harusi Kharifani Nyamwela















No comments:

Post a Comment