Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Monday, July 23, 2012

Vikao vya harusi ya Mtitu vyaendelea

Mwigizaji wa filamu nchini William Mtitu yupo kwenye mikakati ya kufunga ndoa Septembe 8mwaka huu. Vikao vimeshaanza katika kurekebisha mambo ya harusi yake, ambayo mwenyekiti wa kikao cha harusi yake ni Jacob Stephan 'Jb'. William Mtitu amesema mwanamke anayetaka kumuoa ni yule yule mpenzi wake wa muda mrefu, ambaye hausiki katika masuala ya sanaa ya filamu. Pia wasanii hao wapo katika mikakati ya kujua harusi hiyo itaenda vipi, Mc atoke wapi na ukumbi maeneo gani na jinsi ya kuendesha shughuli nzima. Hata hivyo kikao hicho bado hakijaenda sawa, kwakuwa leo wasanii wengine wamegawanyika wengine wameenda ZIFF, na wengine wapo IRINGA, wakati Mtitu yupo Shooting.









No comments:

Post a Comment