Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Monday, July 9, 2012

Mechi ya Hisani ya kuchangia madawati yawa balaa

Wanamuziki wa muziki wa bongo Fleva jana walijikuta wakikubali kipigo cha 1 - 0  kutoka kwa mahasimu wao Bongo Movies katika mechi ya hisani ya kuchangia ujenzi wa madawati. Pia kwa upande wa Wabunge wa Simba waliwakunguta Wabunge wa Yanga bao 3 - 2. Hata hivyo kipigo kikali kilikuwa kati ya Wema Sepetu na Jackline Wolper, ambapo hadi sasa watu mshindi wa kweli hajajulikana, wakti Kasema na Cheka wakiishia kutunushiana misuri katika ulingo. Pata picha zaidi

wasanii wa Bongo Movie wakiwa kambini

Stive nyerere akiwa kambini

Cloud 112 akiwa ametulia wakati wakiwa kambini

Wakati wasanii wa Bongo Movie wapo kambini ndipo wakakutana na Wabunge wa Simba, hapa Jb akisalimiana na mbunge wa Kinondoni Iddi Azan.


Halima Mdee akiwa kambini






























No comments:

Post a Comment