Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Friday, July 13, 2012

Kigoma kuwaka moto Julai 17

Wanamuziki wa kizazi kipya ambao wanaunda kundi la Kigoma Stars, kutokana na wanamuziki hao wote kutokea Kigoma wanatarajia kufanya bonge la Tamasha siku ya tarehe 17 ya mwezi huu. Wasanii hao ambao tayari wameshatoa wimbo mmoja unaokwenda kwa jina la Leka dutigite. Wasanii hao ni Mwasiti, Linex, Baba Levo, Diamond Platinum, Ali Kiba, Ommy Dinpozi, Rechal na wengine wengi. Pia inasadikiwa kwamba katika tamasha hilo, pia ;litaudhuliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh Zitto Kabwe.

Mwasiti


Baba Levo

No comments:

Post a Comment