Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Saturday, April 13, 2013

Hivi ndivyo wasanii walivyomkumbuka Kanumba

  Baada ya wasanii wa Bongo Movie kumaliza kusali misa na kupita makabulini kwa marehemu Steven Kanumba walirudi wote Leaders Club, kwaajili ya kuangalia uzinduzi wa filamu ya mwisho wa nguli hiyo. Katika filamu ili ambayo iliandaliwa na Jack Wolper na kuzinduliwa na mama Kanumba na meya wa manispaa ya Kinondoni Yusufu Mwenda.

 Wageni kutoka Ghana, waliudhulia ili kuonyesha ni jinsi gani walivyokuwa wakimkubali msaniii huyo mpaka kuamua kuja katika kumbukumbu yake.














No comments:

Post a Comment