Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, April 7, 2013

Balaa la filamu ya Selo

 Hizi ndio picha za filamu mpya ya SELO, ambayo inatarajiwa kuja hivi karibuni chini ya kampuni ya Cy & Cy Company chini ya Cloud 112. Kwa upande wa filamu hii, ni miongoni mwa filamu ambzo zimetulia katika matukio makali na yenye mchanganyo wa picha wa kisasa. Hebu angalia baadhi ya picha za Scene za filamu hiyo ambayo inaongozwa na Cloud 112.
 Hapa Big Matovolwa akiwa na Cloud 112, na kwa mbaaali Libert, wakijiandaa kuingia on Set.

 
 Big akiwa na mwanadada Janny, ambaye alifanya kazi nzuri sana katika filamu ya Selo.
 Kazi ilifika hadi kwenye ofisi za Tbc, ambapo napo makamuzi yaliendelea kama kawaida ili kuleta uharisi... hebu angali picha hizi kisha uniambie....










 Sasa hapa ndipo mtu anapoingia ndani ya Selo, ili kujua nini kilimfanya kuingia ndani ya Selo hebu fuatilia filamu hii pindi itakapo toka hivi karibuni.

 Kuna muda wa kufurahi kidogo, hapa ni Cloud 112, China Zaholo, Beka Makuka, Libert Msuya, Zakalia Baruti na mwanadada Janny.





 China akitafakari jambo baada ya kusomewa Scene yake....


No comments:

Post a Comment