Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Sunday, February 26, 2012

Toba na Triple L zapamba moto

Msanii maarufu jijini Issa mussa Khamis (Cloud 112 kama alivyozoeleka) amekaa vyema kwa mwaka huu kuhakikisha kwamba Kazi zake zote za Filamu zinaenda sawia katika Tasnia ya Filamu Nchini.

Kwa kukutanabaisha hilo harakaharaka amekuandalia filamu  kali Tatu ambazo anahakikisha kwamba hutochoka kuangalia kazi zake za filamu nchini.

TOBA:

Filamu ya TOBA imeshutiwa Bamba Beach kwa umakini mkubwa na kuhaririwa na Kampuni ya Digital Art Production Chini ya usimamizi wa Said Mangush na amethibitisha kwa kuhakikisha kwamba atahakikisha filamu inakuwa babu kubwa.

TRIPLE L:

Triple L imeshutiwa na E-Media kwa kushirikiana na Cy & Cl Company ambayo imewashirikisha wasanii wakali kama Patcho Mwamba, Cloud 112 mwenyewe na wengine kibao.

No comments:

Post a Comment