Pages

MY NEW FILM TRAILER INAITWA ''DR MAX''

Tuesday, February 28, 2012

JERAHA LA MOYO ipo mitaani

CY & CL kwa kushirikiana na Steps Entertainment ilikuandalia Filamu kali inaoitwa Jeraha la Moyo ambayo kwa muda mrefu mlikuwa mnaisubiri kwa hamu sasa IPO MITAANI.


Kwa taarifa za haraka haraka toka iingizwe sokoni filamu ya Jeraha la Moyo imeonekana kupokelewa kwa mwitikio Chanya ambapo wadau na wapenzi wa filamu nchini wanonekana wakinunua kwa wingi nakala zake.

Filamu hii imeshirikisha wasanii maarufu na wakali wa sanaa nchini akiwemo Kajala Masanja, Elizabeth Swinny, Zamaradi Salumu, Zuwena Mussa, Marry Mtemi pamoja na Injini ya jiji  CLOUD 112.

Kama bado hujapata nakala yako nakushauri uende katika stoo zetu na upate nakala yako. Akhsanteni kwa ushirikiano wenu na Mchango wenu.

Haluuuuuaaa!!!

No comments:

Post a Comment